Waumini wa dini ya Kiislamu na wazanzibari kwa ujumla wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwaombea dua viongozi wakuu wa nchi ili waweze kuleta maendeleo na kuyatekeleza kwa vitendo yale yote waliyoyaahidi kwa wananchi wao
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid SUNNI HANAFII MKUNAZINI mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema wazanzibari na waumini wa dini zote wana wajibu wa kuwaombea dua viongozi wakuu ili kuzidi kuwatelete maendeleo na kuwatekeleza mambo yote muhimu ambayo wananchi wanastahiki kupatiwa kutoka kwa viongozi wao kama vile anavyotekeleza kwa vitendo Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Braza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema kuwa kila mzanzibar na mtanzania anahitaji maendeleo kwenye sekta zote zikiwemo barabara,maji safi na salama,afya na mengineyo jambo ambalo ndio dira ya viongozi wakuu kuwarahisishia wananchi wake wa kupata kila wanachokihitaji kwa ubora na kwa wakati.
Alhajj Hemed amesema serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Mwinyi ipo salama na viongozi wake wanafanya kazi kwa kushirikiana wakiwa na lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wake kupitia sekta zikiwemo barabara, maji safi na salama ,elimu na mengineyo bila ya ubaguzi wa aina yoyote kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar na watanzania kwa ujumla kuendelea kuitunza na kudumisha amani na utulivu uliyopo nchini kwa kutambua kuwa amani ndio msingi wa maendeleo katika nchi yoyote duniani, hivyo ni lazima kuendelea kuitunza na kuilinda amani tulinayo ili kuweza kuwavutia wawekezaji kutoka nchi mbali mbali kuja kuekeza nchini.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Ustadh MAHSEIN WAHID amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kushikamana katika kuitetea dini ya Allah (S.W) na kuirithisha kwa vizazi vyetu jambo ambalo litawasaidia kufikia lile lengo waliloletewa duniani la kumcha Mwenyezimungu.
Amesema kuwa suala la kuhimizana kufanya ibada na kuchuma chumo la halali ni wajibu wa kila muumin wa dini ya kiislamu, na kuwataka kutambua lengo la kuumbwa wanadamu ni kumcha Allah kwa kufuata mazuri yakiyofanywa na mtume Muhamad (S.A.W) ambayo yataongeza mapenzi baina yao.
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
03-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
03-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
03-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
03-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
03-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-03-2026