ππ πππππ ππ ππππ ππ πππππππ!
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Kenani Laban Kihongosi, anatarajia kuanza ziara yake rasmi mkoani Manyara tarehe 01 Juni, 2026. Ziara hii inalenga kuimarisha chama, kusikiliza wananchi, kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM pamoja na kusikiliza na kupokea changamoto mbalimbali za wananchi ili kuendelea kuharakisha maendeleo ya Mkoa wa Manyara na Taifa kwa ujumla. Wananchi wa Manyara wamejipanga kumpokea kwa hamasa kubwa kiongozi huyu ambaye ameendelea kuwa sauti ya chama katika kuhimiza umoja, mshikamano na uwajibikaji. Chini ya CCM, maendeleo yanaendelea kupatikana na matumaini ya wananchi yanaendelea kuimarika kila siku. π’Manyara mko tayari??? MTUMISHI WA WOTE NDUGU KENANI LABAN KIHONGOSI ______________ #KazinNaUtuTunasongaMbele! #KenaniKihongosiManyara #CCMKaziNaUtu
π°ππππππππ ππππ ππππππππ ππ πππππππππππ!
01-06-2026
πππππ ππ ππππππ πππ ππππππ πππππππ ππππ ππ ππππππππ ππππππππ ππ πππ πππππ
ππππ
01-06-2026
πππππππ ππ πππ ππππ
π πππππ πππππ ππππππππ πππ, πππππππππππ
01-06-2026
πππππππ ππ πππ ππππ
π πππππ πππππ ππππππ ππ πππ ππππ ππ πππππππππππ
01-06-2026
ππ ππππ ππ πππππππ-πππππππππππ ππππ
01-06-2026
ππππ πππππ ππππ ππππππ πππππ ππ ππππ ππππππ πππππππ ππ πππππ
01-06-2026
MAWENZI YAVUNJA REKODI: MITUNGI 3,313 YA OKSIJENI YAZALISHWA KWA MIEZI 6, ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 126 ZAOKOLEWA!
01-06-2026
MAFURIKO YA WANANCHI WA SIHA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
01-06-2026
MAPOKEZI YA KATIBU MWENEZI WA CCM NDUGU KENANI L KIHONGOSI MKOANI KILIMANJARO
01-06-2026
π° πππππππππ πππππππ πππ ππππππππ πππππππππππ
01-06-2026
CCM INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA EID AL ADHA
01-06-2026
π°VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAIMARISHA MSHIKAMANO, DKT. DIMWA AHITIMISHA MAFUNZO MAALUM
01-06-2026
KATIBU WA NEC, ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISIMANI EMMANUELA KAGANDA MTATIFIKOLO
01-06-2026
MUENDELEZO WA MAFUNZO YA VIONGOZI KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE β KIBAHA
01-06-2026
SIKU YA KWANZA YA MAFUNZO KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL.
01-06-2026
UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VYAMA SITA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
01-06-2026
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, KOMREDI LIU HAIXING IKULU DAR ES SALAAM
01-06-2026
KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM
01-06-2026
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
01-06-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
01-06-2026