Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


πŒπ–π„ππ„π™πˆ π€ππŽπŠπ„π‹π„π–π€ 𝐇𝐀𝐍𝐀𝐍𝐆’-πŒπ€ππ˜π€π‘π€

alternative

MANYARA: Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, leo Juni 1, 2026 amepokelewa Wilaya ya Hanang’, mkoani Manyara, kuanza rasmi ziara yake ya kikazi katika mkoa huo ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya Kanda ya Kaskazini. Mara baada ya kuwasili, Kihongosi alipokelewa katika Kata ya Masakta na kushiriki kikao katika Shina Na. 1 la Tawi la Masakta. Katika ziara hiyo, anatarajiwa kukagua Jengo la Utawala la Halmashauri ya Hanang’ pamoja na mradi wa chujio la maji safi katika Kata ya Jorodom. Aidha, Kihongosi atafanya mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Shule ya Msingi Katesh kwa lengo la kuzungumza na wananchi, kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi. ___________ #KazinaUtuTunasongaMbele #CCMImara #KaziInaendelea #Hanang.

alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine