Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


DK. NCHIMBI AMJULIA HALI MWENYEKITI ALAT TAIFA

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, Mhe. Murshid Ngeze, katika Hospitali ya CCBRT, jijini Dar Es Salaam, ambako Diwani huyo wa Kata ya Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Bukoba, mkoani Kagera, amelazwa kwa ajili ya matibabu.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi