Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MKUTANO WA KATIBU MKUU NA WANANCHI WA HANANG MKOA WA MANYARA

alternative

Matukio mbalimbali katika picha Mkutano wa hadhara Hanang' Manyara, Katibu Mkuu Balozi Ndg. Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi.

Katibu Mkuu yupo katika ziara ya siku mbili mkoani Manyara kufuatilia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020/25.Katibu Mkuu ameambatana na Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla na Katibu wa NEC-Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdallah Hamid.
 

alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi