Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


SIMIYU NA CCM, NCHIMBI AKIWASILI ITILIMA

alternative

Mapokezi makubwa wananchi na wanaCCM wa Itilima wakimpatia mapokezi makubwa Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi alipowasili eneo la Lugulu kwa ajili ya kuwasalimia, akiwa njiani kuelekea wilayani Maswa, leo tarehe 8 Oktoba 2024, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya kikazi Mkoa wa Simiyu, ambayo ameambatana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Makalla na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdalla Hamid.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi