Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU BALOZI DKT. NCHIMBI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI KATIKA MKUTANO WA HADHARA VIWANJA VYA KILOMBERO ARUSHA, LEO JUNI 3,2024

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Kilombero Sokoni, jijini Arusha, leo Juni 3, 2024 , katika siku ya pili ya ziara yake mkoani humo, ambayo ameambatana na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Komredi Amos Gabriel Makalla na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia  Abdallah Hamid.

Ziara ya Dk Nchimbi inalenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 - 2025, kuhamasisha uhai wa CCM kuanzia ngazi ya mashina, pamoja na kuzungumza na makundi mbalimbali ya wananchi, kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero zao.

alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi