Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU WA CCM AFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA IDARA YA UHUSIANO WA KIMATAIFA FRELIMO 

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Chama Tawala cha Msumbiji (FRELIMO), Komredi Alcinda Antonio de Abreu, kuhusu masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya Msumbiji na Tanzania, kwa upande mmoja na CCM na FRELIMO kwa upande mwingine, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam.

alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi