WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
.
LINDI: Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara Wilaya ya Lindi Mjini mkoani Lindi.
Awali, Makalla alikuwa akitambulisha wageni alioambatana nao hususani walio hamia kutoka katika vyama vya upinzani ili kutoa salamu zao kwa wananchi.
Miongoni wa walioambatana na Makalla katika msafara huo ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa.
Pia aliambatana na Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mawasiliano wa chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya akifuatiwa na Rashid Sepanga ambaye alihamia CCM Novemba, mwaka jana na kusema kuwa wanachama hao wapya walikuwa ni zawadi kwa CCM.
Aidha, akizungumza kwa upande wake Kitunguli alisema kuwa alikuwa mwanachama wa CCM mwaka 2008 alihama na kuhamia CUF akieleza utekelezaji wa Ilani ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndo sababu kubwa ya kuwamfanya ahamie CCM.
“Mimi nilikuwa CCM 2008 nikatoka nikaenda kuusoma upinzani kitu kikubwa ambacho ndugu zangu mliobaki huko sijui mnabakia kwa lipi mimi nilikuwa diwani na nikawa mwenyekiti wa mtaa vyote sidhani uliko nje ulikuwa unabakisha nini,” amesema Kitunguli.
Ameongeza kuwa akiwa upinzani kitu walichojifunza ni ukaidi na vurugu lakini sio kufanya mambo yenye manufaa kwa wananchi.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
07-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
07-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
07-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
07-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
07-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
07-11-2025