WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
.
LINDI: Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara Wilaya ya Lindi Mjini mkoani Lindi.
Awali, Makalla alikuwa akitambulisha wageni alioambatana nao hususani walio hamia kutoka katika vyama vya upinzani ili kutoa salamu zao kwa wananchi.
Miongoni wa walioambatana na Makalla katika msafara huo ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa.
Pia aliambatana na Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mawasiliano wa chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya akifuatiwa na Rashid Sepanga ambaye alihamia CCM Novemba, mwaka jana na kusema kuwa wanachama hao wapya walikuwa ni zawadi kwa CCM.
Aidha, akizungumza kwa upande wake Kitunguli alisema kuwa alikuwa mwanachama wa CCM mwaka 2008 alihama na kuhamia CUF akieleza utekelezaji wa Ilani ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndo sababu kubwa ya kuwamfanya ahamie CCM.
“Mimi nilikuwa CCM 2008 nikatoka nikaenda kuusoma upinzani kitu kikubwa ambacho ndugu zangu mliobaki huko sijui mnabakia kwa lipi mimi nilikuwa diwani na nikawa mwenyekiti wa mtaa vyote sidhani uliko nje ulikuwa unabakisha nini,” amesema Kitunguli.
Ameongeza kuwa akiwa upinzani kitu walichojifunza ni ukaidi na vurugu lakini sio kufanya mambo yenye manufaa kwa wananchi.
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
08-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
08-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
08-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
08-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
08-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
08-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
08-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
08-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
08-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
08-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
08-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
08-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
08-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
08-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
08-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
08-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
08-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
08-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
08-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
08-01-2026