RAIS SAMIA AMEBADILISHA MAISHA YA WAKULIMA
•Rais Samia Suluhu Hassan, ameingia katika rekodi ya kubadilisha maisha ya wakulima, kuongeza ruzuku ya pembejeo ya mbegu na mbolea.
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla, amesema wanatambua katika vyama vya ushirika wako mchwa na wabadhirifu ambao ndio wakushughulikiwa.
Makalla ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wananchi Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya siku 10 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Amesema amefurahi kupokea taarifa kutoka kwa Ofisa Ushirika Mkoa, ambapo jitihada za serikali ni kusaidia vyama vya ushirika na wakulima katika kupata bei katika kuongeza pembejeo na kusababisha maisha ya watu kubadilika siku hadi siku.
“Nyie ni mashahidi wakati wa kangomba bei ya korosho ilikuwa shilingi ngapi na sasa ni shilingi ngapi, hatua ni kubwa. Wenzetu waliambiwa huko Nachingwea na hao waliosema huku mbali, kwamba ushirika huu hauna maana, jana nilieleza Kilwa katika wale viongozi wanaopotosha wananchi hakuna hata mwenye shamba, hawajui kulima na hawajui mazao haya,” anasema.
Aliwaomba wananchi waendelee kushirikiana na serikali, kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan, ameingia katika rekodi ya kubadilisha maisha ya wakulima, kuongeza ruzuku ya pembejeo ya mbegu na mbolea.
“CCM kwenye ilani tumeongeza mipango yetu kuboresha ushirika, hao wengine hawana dhamana wala wajibu, wasikilizeni viongozi wenu.
“Tunatambua wapo mchwa na watu wabadhirifu kwenye vyama vya ushirika, hao ndio watu wa kushughulika nao kwenye ushirika ili uendelee kuwa na nguvu na kuendelea kuwasaidia wakulima.
“Kama ni pembejeo zinatoka ziwafikie wakulima wasijinufaishe watu wachache, hao ndio wakula nao sahani moja.
“Kwa hiyo tuko macho, Mkuu wa Mkoa yuko macho, Mkuu wa Wilaya yuko macho, CCM iko macho, lengo letu ni kuhakikisha wananchi wetu, wakulima wetu kupitia ushirika wanaimarika zaidi na mazao yao yanakuwa na tija na kuwasaidia katika kuboresha uchumi na maisha yao,” amesema.
Amesisitiza kuwa hayo ndiyo mambo yaliyowafanya wananchi wakiamini Chama Cha Mapinduzi.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
18-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
18-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
18-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
18-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
18-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
18-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
18-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
18-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
18-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
18-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
18-11-2025