Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MWENEZI MAKALLA APIGILIA MSUMARI SUALA LA MITANO TENA LIWE KWA MAMA SAMIA PEKEE, WENGINE WAFUATE UTARATIBU .

alternative

Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Dar es salaam (kichama) akizungumza katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Leo amepokelewa na Umati wa WanaCCM . Mwenezi Makalla amesema Kumezuka suala la Watu kupigiana chapuo yaani "... unakuta Wilaya nzima wanakuwa na ajenda na Mtu, wanaimba Mitano tena kwa Diwani ama Mbunge kumbe ni ajenda, na wanaacha kabisa Chama, unakuta anapigiwa chapuo mtu mmoja, sasa nami nielekeze suala hili la Mitano tena liwe kwa Mwenyekiti wetu, wengine tufuate Utaratibu kwani ndivyo tulivyowekeana Taratibu."

 

06 Julai 2024 Mapokezi ya Mlezi wa Mkoa wa Dar es salam na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi