Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefanya ziara katika Shirika la Utangazaji
Tanzania (TBC).

alternative

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefanya ziara katika Shirika la Utangazaji
Tanzania (TBC).

Kinana amefanya ziara hiyo kwa lengo la kujionea namna TBC inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutembelea maktaba iliyohifadhi nyaraka za kumbukumbu za ukombozi wa Bara la Afrika.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi