MIRADI YA MAENDELEO NI MATOKEO YA USIMAMIZI MZURI WA RASILIMALI
•Amtaja Dr Samia Suluhu ni mzalendo na anaipenda Tanzania
GAIRO: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chma Cha Mapinduzi (CCM)makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa Rais muadilifu kwani amekuwa na uwezo mkubwa wa kupeleka fedha za maendeleo katika maeneo mbalimbali.
Pia amesema fedha na rasilimali zote zinazokusanywa zimapelekwa katika miradi mbalimbali ya maendeleo na kueleza miradi mikubwa ya maji, madaraja ambayo ilishindikana kwa miaka mingi, barabara, hospitali na mengineyo.
Makalla amesema hayo leo Mei 16, 2025 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Gairo mkoani Motogogoro wakati akihitimisha ziara yake iliyoanza mapema mwezi huu mkoani humo.
“Kwahiyo katika Tanzania kiongozi namba moja anayewapenda Wanzania na aliyeapa kuilinda Tanzania na rasilimali zake zote ni Rais Samia Suluhu Hassan na ndo maana anaingia katika rekodi ya marais waliopeleka fedha za maendeleo kuliko awamu yoyote,” amesema Makalla.
Makalla ameongeza anayesema Tanzania haina maendeleo anahitaji kupimwa akilibkwani maendeleo yaliyofanyika haya hitaji tochi kuyatazama na frdha kwa ajili ya kufanya maendeleo hayo zinatolewa na Rais Samia ambaye ameonesha kuwa rais wa kuahidi na kutenda.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025