MNAOTAMANI UONGOZI SUBIRINI 2025
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Ndg. Sophia Mjema amewataka wanachama wa CCM wanaoutaka ubunge na udiwani kuwa na subira hadi 2025.
Amesema hayo Oktoba 5, 2025, alipozungumza katika mkutano wa viongozi na watendaji wa CCM mkoani Songwe.
Amesema kwa sasa hadi 2025, Chama kinawatambua wabunge na madiwani waliopo, hivyo waendelee kuungwa mkono katika kazi wanazozifanya hadi kipindi chao cha uongozi kitakapomalizika.
Amesema wanachama wanaojipitishapitisha kwa malengo ya kuutaka ubunge na udiwani kabla ya wakati, watashughulikiwa.
Ndg. Mjema amesema, “ukitamani uongozi subiri 2025 sasa hivi waachwe viongozi waliochaguliwa wamalizie kazi tuliyowatuma, muda ukifika utaomba ila kwa sasa tunataka mshikamano, nyumba ni maelewano, yasipokuwepo hakuna maendeleo."
Mwenezi Mjema yupo kwenye ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Songwe yenye lengo la kukiimarisha na kukijenga Chama, akiwa ni Mlezi wa Mkoa huo.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
22-12-2025
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
22-12-2025
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
22-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
22-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
22-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
22-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
22-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
22-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
22-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
22-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
22-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
22-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
22-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
22-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
22-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
22-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
22-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
22-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
22-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
22-12-2025