Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MAKONDA ATETA NA SPIKA WA BUNGE DKT TULIA - DODOMA

alternative

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Paul Makonda Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 2 Novemba, 2023.

Pamoja na Mambo mengine, Makonda amempongeza Dkt. Tulia kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa IPU ambapo amesema kuwa CCM itahakikisha inamuunga mkono katika majukumu yake ili azidi kuitangaza Tanzania kimataifa.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi