Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


DKT SAMIA AMEKUWA CHACHU YA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI.

alternative

Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Taifa na Rais Dkt Samia amekuwa chachu kubwa kwa Wananchi wengi Kujiandikisha kwenye daftari la Mkazi kwa sababu Wananchi wengi walipata ishara kuwa Uchaguzi ni muhimu kwani wengi waliona kama Rais amejitokeza na huyu ndie anaepeleka pesa mpaka ngazi ya kijiji wengi wakajitokeza amekuwa Kiongozi wa mfano lakini upande wa pili hawakufanya hivyo.

CCM Dkt Samia amejiandikisha ,Balozi Nchimbi amejiandikisha,Wa NEC , Viongozi wote wa Jumuiya na Mikoa mpaka Wilaya wamejiandikisha 

"Wananchi walipomuona Dkt Samia anaenda Kujiandikisha pamoja Viongozi wakuu wa Chama na Serikali kuanzia ngazi za Mikoa mpaka Wilaya kila eneo hilo tu lilitosha kuleta hamasa kwamba Uchaguzi huu ni muhimu na mana wakajitokeza" CPA Makalla

#KaziIendelee

alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi