TAARIFA KWA UMMA
Taarifa Kwa Umma Juu ya Vikao Vya Chama Ngazi ya Taifa Vilivyoketi Mapema Leo Tarehe 09-Julai-2023 Chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe DKt. Samia Suluhu Hassan, Vikao Hivyo Vimefanyika Katika Ofisi za CCM Makao Makuu Dodoma
Kidumu Chama Cha Mapinduzi