Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


DKT NCHIMBI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA PERAMIHO 

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na wananchi wa Liganga, Jimbo la Peramiho, Halmashauri ya Songea Vijijini, Wilaya ya Songea, alipokuwa njiani kuelekea Wilaya ya Nyasa, akiendelea na ziara yake ya siku 5, mkoani Ruvuma, leo Jumamosi tarehe 5 Aprili 2025.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine