MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ HEMED SULEIMAN ABDULLA AMEWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUWASIMAMIA VIJANA WAO NA KUWALEA KWA KUFATA MISINGI YA KITABU KITUKUFU CHA QUR-AN ILI KUPATA VIONGOZI WALIOBORA WA BAADAE
Alhajj Hemed ameyasema hayo alipokuwa akiwasalimia Waumini wa Masjid IMANI uliopo MIGOMBANI CHINI mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema kuwa wazazi na walezi wana jukumu kubwa la kuwasimamia vijana wao pamoja na kuwapatia elimu zote mbili ya dunia na akhera kwa manufaa yao wenyewe na Taifa kwa ujumla jambo ambalo litapelekea kupata viongozi bora wa Serikali pamoja na wanazuoni wenye kuisimamia dini ya kiislamu.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema ni lazima kwa kila mzazi na mlezi kuhakikisha anawasimamia vijana wake ili kuwakinga na matendo maovu na machafu yatakayosababisha uvunjifu wa amani sambamba na kuwakinga na matendo ya uzalilishaji na madawa ya kulevya.
Alhajj Hemed amesema kuwa dunia imekumbwa na mambo mabaya na maovu mengi ambayo husababisha kuwepo kwa mmong’onyoko wa maadili hivyo ni wajibu wa kila mzazi na mlezi kumpatia kijana wake elimu ili kumuwekea msingi nzuri wa kimaisha hapo baadae.
Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewashukuru Watanzania wote pamoja na Wazanzibari kwa kuendelea kudumisha amani, upendo na mshikamano baina yao jambo ambalo linaipelekea Serikali kufikia malengo yake iliyojiwekea ya kuwaletea maendeleleo endelevu wananchi wake.
Amesema ni lazima wananchi kuunga mkono jitihada zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Nane (8) inayoongozwa na Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika kuwaletea maendeleo wananchi wake pamoja na kuwatatulia chongamoto mbali mbali zilizokuwa ziwakabili bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim ABDI ZUBEIR amewataka waumini wa dini ya Kiislam na Wazanzibari kwa ujumla kuhakikisha wanawapatia watoto haki zao za msingi jambo ambalo litapelekea kupata watoto walio wema pamoja na viongozi wazuri wa baadae.
Amesema kuwa kila mzazi na mlezi ni dhamana kwa anaemuongoza na ndio masuuli mkubwa kesho mbele ya haki hivyo ni lazima kuhakikisha anamsimamia vyema mtoto wake pamoja na anaowaongoza ili kupata radhi za Allah (S.W).
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025