WASIRA AKOLEZA MOTO WAKAMPENI OKTOBA TUNATIKI.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira , amewaonya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Watanzania kwa ujumla, wasidanganywe na kauli mbiu zinazotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiwamo kauli mbiu za No Reforms, No Election, Movement of Change (M4C) na No Hate No Fear.
Wasira amesema kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia kauli mbiu hizo bila kutekeleza vitendo vya kuunga mkono kauli hizo, na kwamba hii ni tabia yao ya muda mrefu ya kujinufaisha kisiasa kwa maneno badala ya matendo halisi.
Kauli hiyo alitoa leo, Juni 10, 2025, alipokuwa akizungumza na wanachama wa CCM na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, katika ziara yake ya kikazi.
Amesisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa chama thabiti chenye misingi imara ya utekelezaji wa sera na ilani zake kwa vitendo, tofauti na vyama vinavyotegemea kauli zenye lengo la kuchochea hisia za wananchi bila hoja madhubuti.
> CHADEMA wamekuwa mabingwa wa kutoa kauli mbiu kila jambo, lakini Watanzania sasa ni waelewa. Wasiwaamini, maana hawana ajenda ya maana zaidi ya maneno, alisema Wasira.
Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhai wa chama na kutoa miongozo kwa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya, kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao.
Pia amewasihi watanzania wote wakiwemo wanachama na wapenzi wa Chama hicho kujiandaa kwenda KUTIKI kwa kumpigia kura mgombea urais wao Dk.Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea mwenza Dk.Emmenuel Nchimbi.
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
08-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
08-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
08-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
08-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
08-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
08-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
08-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
08-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
08-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
08-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
08-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
08-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
08-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
08-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
08-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
08-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
08-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
08-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
08-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
08-12-2025