DR MWINYI AKUTANA NA MWAKILISHI WA UNICEF
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, Tanzania Bi. Shalini Bahuguna aliefika kwaajili ya kumuaga baada ya kumaliza kwa muda wake wa utumishi kwenye shirika hilo.
Dk. Mwinyi alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na timu nzima ya UNICEF, Tanzania kupitia ushirikiano wake kwani wako bega kwa bega katika kuimarisha masuala yanayohusu ustawi wa watoto nchini.
“UNICEF imefanya makubwa Tanzania hususani ushirikiano wake wa karibu katika kuiungamkono Serikali yetu kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo, wamefanya mengi siwezi kuyaonesha maeneo yote sababu ni mengi mno.” alifafanua Rais Dk. Mwinyi.
Pia Dk. Mwinyi, alimpongeza Bi. Shalini kwa jitihada zake, kwa kipindi chote alichofanyakazi na UNICEF hapa nchini akieleza mchango mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa katika miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na shirika hilo katika kuiunga mkono SMZ.
Dk. Mwinyi alimweleza Mwakilishi huyo kwamba, daima Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulishukuru Shirika la UNICEF kwa kuiunga mkono Zanzibar kwenye masuala ya Afya na Elimu.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Bi. Shalini alimpongeza Rais Dk. Mwinyi kwa uongozi wake hasa katika kuzisimamia vema rasilimali za Zanzibar kwenye ujenzi wa maendeleo ya Wazanzibari wa maeneo yote ya Unguja na Pemba.
Alimsifu Dk. Mwinyi kuwa Kiongozi wa mfano hasa kwa kukinawirisha kimaendeleo Kisiwa cha Pemba na mageuzi makubwa aliyofanya kwenye sekta za afya na Elimu Zanzibar.
Vilevile bi Bi. Shalini ameisifu za Zanzibar kwa kufanikiwa kutekeleza malengo ya Mileniam kwani imefanikiwa kwenye suala zima la kudumisha usafiwa mazingira kwa maeneo mengi ya miji.
Akizungumzia mafanikio katika ustawi wa masuala ya watoto, Mwakilishi huyo wa UNICEF aliipongeza Serikali ya Dk. Mwinyi na kueleza kuwa Zanzibar imefanikiwa kwa asilimia 75 kuwarejesha skuli watoto wengi walioacha masomo kwa mazingira tofauti waliyokumbana nayo kwenye makuzi yao.
UNICEF ni Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) lililoanzishwa tangu mwaka 1946 New York, Marekani, linashughulika na masuala ya Elimu na Watoto duniani, linafanyakazi kwenye maeneo zaidi ya 190 duniani kote, katika kuwafikia watoto na vijana walio kwenye matatizo kutokana na majanga mbalimbali kwa kuboresha chanjo kwa watoto na kutoa lishe bora katika kuimarisha huduma za dharura mbali na mambo mengine yanayowahusu watoto.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
25-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
25-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
25-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
25-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
25-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
25-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
25-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
25-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
25-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
25-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
25-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
25-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
25-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
25-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
25-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
25-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
25-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
25-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
25-10-2025