VIONGOZI NA WANACHAMA CHADEMA KILIMANJARO WATIMKIA CCM
KILIMANJARO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kujivunia wanachama wapya kutoka katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika mkoa wa Kilimanjaro.
Wanachama hao wamepokelewa na Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla amepokea wanachama hao wapya akiwa katika mikutano ya hadhara aliyoifanya akiwa katika ziara yake ndani ya Wilaya mbili za Mkoa wa Kilimanjaro, Wilaya ya Moshi Mjini na Rombo.
Akiwa Moshi Mjini Makalla amepokea wanachama 23 wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa kutoka katika Kata ya Bondeni wilayani Hai, Dastan Kimaro.
Akifafanua sababu za kurudi CCM Kimaro amesema akiwa kama kiongozi amekuwa hapati ushirikiano kwani hakuwa na viongozi wa kutoka katika chama chake pia hakuwa na ilani aliyokuwa akiitekeleza kwa sababu sera anazotakiwa kuzitekeleza ni za Ilani ya CCM.
“Sikuona Ilani yoyite ya Chadema amabayo ilikuwa katika utekelezaji nikagundua kuwa sera zote ninazotakiwa kuzitekeleza ni cha chama za mapinduzi ndipo nilipoamua kurudi katika chama cha Mapinduzi,” amesema Kimaro.
Pia Makalla akiwa akizungumza na wananchi katika eneo la Tarakea wilayani Rombo amepokea makada wengine wa Chadema 15 wakidai kuikataa vikali kauli ya ‘No reform no election’ na kuamua kutimkia CCM
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
15-04-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
15-04-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
15-04-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
15-04-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
15-04-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
15-04-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
15-04-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
15-04-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
15-04-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
15-04-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
15-04-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
15-04-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
15-04-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
15-04-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
15-04-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
15-04-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
15-04-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
15-04-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
15-04-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
15-04-2026