ππππππ πππ. πππππππ ππππππππππ ππππππππ ππ ππππππ πππ ππππππ πππ πππππππππ ππ ππππππππππ πππππ ππ ππππ ππππ
π₯Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewapongeza wahariri wa vyombo vya habari kwa kutumia taaluma yao vizuri katika kulinda, kudumisha na kuendeleza amani iliyopo nchini.
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano maalum wa jukwaa la wahariri Tanzania (TEF) , Dkt. Nchimbi amesema ukomavu wao katika kuchuja na kufuata sheria na haki wakati wa uandishi umeifanya nchi kutokuwa kwenye majuto.
"Wahariri wa vyombo vya habari ambao ninyi ndio mnaruhusu habari yoyote itoke kwenye chombo cha habari kama mngetumia nafasi yenu vibaya kwa miaka yote mliyofanya kazi yenu inawezekana nchi yetu isingekuwa hivi leo"
"Wahariri wa vyombo vya habari kwa mfano wakiamua kutengeneza msongo wa mawazo kwa raia wanatengeneza...mkiamua kulikuza jambo mnaweza na mkiamua kuchochea jambo mnaweza, wahariri ndio chujio la habari zote katika Taifa"
"...kwa kweli mimi kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi na kwa niaba ya Watanzania wapenda Amani, nawashukuru sana Wahariri kwa kupitia Waandishi wa habari"
#KaziNaUtuTunasongaMbele
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
02-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
02-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
02-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
02-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
02-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
02-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
02-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
02-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
02-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
02-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
02-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
02-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
02-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
02-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
02-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
02-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
02-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
02-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
02-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
02-03-2026