SHIRIKIANENI NA CCM NDIYO CHAMA CHENYE UWEZO NA DHAMIRA KUONGOZA NCHI - NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema hadi sasa hakuna chama kingine cha siasa, tofauti na CCM, kinaweza kuaminiwa kuwa mbadala wa CCM katika kuongoza nchi.
Hivyo amewasisitiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM kwani ndiyo chama chenye uwezo na dhamira ya kuongoza nchi kwa maslahi ya wananchi na taifa letu.
Balozi Nchimbi ameyasema hayo leo tarehe 6 Oktoba, 2024, alipokuwa akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, ambapo pia amewapongeza kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mapokezi yake, I ikionesha wazi mapenzi yao makubwa kwa CCM.
"Shirikianeni na Chama Cha Mapinduzi ambacho kimeonesha uwezo na dhamira ya kuongoza nchi. Sisi hatuna viongozi wa kuongoza miaka 40 bila kubadilika. Tunabadilika badilika na ndiyo mana CCM imekuwa chama kijana kuliko vyote. Vyama vya upinzani bado sana vinahitaji kukua na sio kuongoza. Tuendelee kuwalea ni watoto wa mwisho hadi watakapokua zaidi, labda miaka 50 ijayo.
Dkt Nchimbi ameongozana na Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu CPA Amos Makalla na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndugu Rabia Abdalla Hamid.
ποΈ06.Octoba 2024.
πLamadi Busega
#KaziIendelee
#TunaendeleanaMama.
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
29-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
29-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
29-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
29-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
29-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
29-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
29-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
29-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
29-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
29-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
29-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
29-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
29-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
29-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
29-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
29-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
29-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
29-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
29-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
29-10-2025