MWENEZI MAKALLA AANZA ZIARA YA KUTEMBELEA VYOMBO VYA HABARI, AELEZA MAKUBWA YANAYOFANYWA NA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI
> Agusia mchakato wa Katiba Mpya
> Asema kupitia ziara iliyofanyika hivi karibuni ya Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi, CCM imetatua kero 160 za wananchi
> Asema CCM inaendelea kutambua na kuheshimu muhimili wa mahakama hivyo haitajihusisha na utatuzi wa kesi ambazo tayari zipo mahakamani
Katibu wa NEC - Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla, ametembelea studio za Azam Media Limited na Mwananchi Communications Limited (MCL) ikiwa ni kuanza kwa ziara yake ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari hapa Nchini.
Akizungumza kwenye mahojiano katika kipindi cha #MorningTrumpet cha UTV pamoja na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) , Mwenezi Makalla ameeleza sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuingia mitaani kusikiliza na kutatua kero na changamoto za Wananchi.
Mwenezi Makalla ameeleza kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa kasi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini ikiwemo Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere, Mradi wa Reli ya kisasa ya SGR, Miradi ya Elimu, Afya na Miundombinu ya Barabara pamoja na viwanja vya ndege.
Sambamba na hayo, ameeleza namna mchakato mzuri unavyoendelea kufanyika kuhusiana na upatikanaji wa katiba mpya kwa kuzingatia taratibu ya kuchukua maoni ya wananchi na si maoni ya vyama vya siasa pekee.
Aidha, Makalla amesema tuhuma zinazotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kuwepo kwa fedha chafu zinazoingizwa ndani ya chama chao ili kuwavuruga si za kweli na kusema saula hilo si la kuupuziwa hivyo kumuomba msajili wa vyama vya siasa na TAKUKURU kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo.
ποΈ7 Mei, 2024
πJijini Dar es salaam
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025