MWENEZI MAKALLA AANZA ZIARA YA KUTEMBELEA VYOMBO VYA HABARI, AELEZA MAKUBWA YANAYOFANYWA NA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI
> Agusia mchakato wa Katiba Mpya
> Asema kupitia ziara iliyofanyika hivi karibuni ya Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi, CCM imetatua kero 160 za wananchi
> Asema CCM inaendelea kutambua na kuheshimu muhimili wa mahakama hivyo haitajihusisha na utatuzi wa kesi ambazo tayari zipo mahakamani
Katibu wa NEC - Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla, ametembelea studio za Azam Media Limited na Mwananchi Communications Limited (MCL) ikiwa ni kuanza kwa ziara yake ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari hapa Nchini.
Akizungumza kwenye mahojiano katika kipindi cha #MorningTrumpet cha UTV pamoja na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) , Mwenezi Makalla ameeleza sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuingia mitaani kusikiliza na kutatua kero na changamoto za Wananchi.
Mwenezi Makalla ameeleza kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa kasi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini ikiwemo Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere, Mradi wa Reli ya kisasa ya SGR, Miradi ya Elimu, Afya na Miundombinu ya Barabara pamoja na viwanja vya ndege.
Sambamba na hayo, ameeleza namna mchakato mzuri unavyoendelea kufanyika kuhusiana na upatikanaji wa katiba mpya kwa kuzingatia taratibu ya kuchukua maoni ya wananchi na si maoni ya vyama vya siasa pekee.
Aidha, Makalla amesema tuhuma zinazotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kuwepo kwa fedha chafu zinazoingizwa ndani ya chama chao ili kuwavuruga si za kweli na kusema saula hilo si la kuupuziwa hivyo kumuomba msajili wa vyama vya siasa na TAKUKURU kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo.
ποΈ7 Mei, 2024
πJijini Dar es salaam
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
13-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
13-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
13-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
13-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
13-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
13-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
13-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
13-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
13-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
13-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
13-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
13-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
13-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
13-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
13-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
13-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
13-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
13-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
13-03-2026