Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI ATEMBELEA SHINA NAMBA 5 LA PARADISE - MPANDA 

alternative

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ameongozana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Amos Makalla pamoja na Katibu wa NEC - Organaizesheni Ndugu. Issa Gavu kwa pamoja wamefika katika shina namba 5 la paradise katika kata ya majengo wilaya ya mpanda mkoani Katavi. 

Wakiwa hapo, Katibu Mkuu Nchimbi ametoa salamu za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. 

Aidha, Wametoa wito juu ya uhamasishaji wa uongezaji wa Wanachama katika kila shina kwakuwa idadi ya namba kubwa ya wananchama ndiyo yenye kupelekea idadi ya namba kubwa za kura za ushindi kwa CCM.

🗓️ 13 Aprili, 2024
📍 Mpanda - Mkoani Katavi

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi