BALOZI DKT. NCHIMBI APOKELEWA KWA SHANGWE RUVUMA, VYAMA VYA UPINZANI VYAMIMINIKA CCM
Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, mkoani Ruvuma imeanza kwa kishindo, huku mamia ya wanachama wa vyama vya upinzani wakihama na kujiunga na CCM.
Katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jumatano, 2 Aprili 2025, katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mlingo, mjini Tunduru, wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani walimkabidhi Balozi Nchimbi kadi zao, wakitangaza kuunga mkono CCM na uongozi wa Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi wa ACT Wazalendo wakiongozwa na Katibu wa chama hicho wilayani Tunduru, Ndugu Said Ramadhan Mponda, walieleza kuwa hatua yao ya kurejea CCM imetokana na kuridhishwa na utendaji wa Mhe. Dkt. Samia na uteuzi wa Balozi Nchimbi kuwa mgombea mwenza wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
Miongoni mwa waliorejea CCM ni Diwani wa ACT Wazalendo wa Kata ya Mchoteka, Ndugu Seif Hassan Dauda, na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Kata ya Nakayaya, Bi. Mwajuma Said Ajida. Wakihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza, walikiri kuvutiwa na jitihada za Mhe. Dkt. Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzania.
Balozi Nchimbi, ambaye ni mzaliwa wa Ruvuma, yuko katika ziara ya siku tano inayojumuisha wilaya za Tunduru, Namtumbo, Songea, Mbinga na Nyasa, akikamilisha maeneo ambayo hakuyafikia kwenye ziara yake ya mwaka jana.
#CCMImara
#KaziNaUtuTunasongaMbelePamoja
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
05-02-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
05-02-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
05-02-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
05-02-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
05-02-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
05-02-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
05-02-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
05-02-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
05-02-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
05-02-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
05-02-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
05-02-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
05-02-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
05-02-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
05-02-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
05-02-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
05-02-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
05-02-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
05-02-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
05-02-2026