MAKALLA: MIAKA MITANO YA RAIS SAMIA MAENDELEO YAONEKANA KARATU
•Ataja ujenzi wa hospitali ya Wilaya, miradi ya maji na ongezeko la barabara za lami.
KARATU: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema upatikanaji wa maji Karatu Mjini ni asilimia 79, tofauti na kipindi cha miaka 25 ya nyuma ambayo maendeleo ya kusuasua jimbo hilo liliposhikiliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Amesema kutokana na hayo yanafanya Rais Samia Suluhu Hassan kuingia katika rekodi ya viongozi wanaoongoza kupeleka fedha nyingi za miradi kuliko awamu nyingine yoyote tena katika kipindi cha miaka mitano.
Makalla ameeleza hayo leo Juni 5 wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, akiendelea na ziara yake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
“Kupitia Mkutano huu namuomba Waziri wa Maji, Juma Aweso atakuja hapa Karatu kushughulikia jambo hilo kule kwenye bwawa watakuja wanavifaa vya kutosha na uzuri tunaye waziri wa maji Kijana mwepesi na Msikivu baada ya hotuba yangu atakuja Karatu,” amesema Makalla.
Amesisitiza kuwa Aweso atakapofika katika Wilaya hiyo atashughulika na hayo mambo mawili la kwanza likiwa ni bwawa na lingine kutatua changamoto iliyopo katika kuruhusu maji ili kusaidia wananchi wa eneo hilo
Katika hatua nyingine Makalla amesema Chadema walikaa katika jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 25 na hawakuweza kuweka hospitali ya Wilaya lakini katika kipindi cha miaka michache ya uongozi wa Rais Samia Karatu wamepata hospitali ya Wilaya.
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
21-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
21-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
21-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
21-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
21-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
21-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
21-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
21-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
21-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
21-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
21-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
21-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
21-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
21-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
21-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
21-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
21-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
21-01-2026