KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, WANA CCM HAKIKISHENI MNALETA WAGOMBEA WAADILIFU, WAPINZANI WANAIFANYA KAZI YAO VIZURI MNO HIVYO MKIWAPA KAZI NYINGINE ITAWASHINDA, NI VIZURI CCM KUENDELEA KUONGOZA NCHI - BALOZI DKT. NCHIMBI
"Naomba muendelee kukiamini Chama Cha Mapinduzi kuwatumikia, sisi kama CCM tutaendelea kuzisimamia serikali zetu kuhakikisha kwamba kero za wananchi zinatatuliwa kwa wakati na kuhangaika na wananchi wanyonge wa kawaida, kutambua kwamba inao wajibu wa pekee kwa wananchi wetu"
"Mtakapofika wakati wa uchaguzi serikali za mitaa wana CCM kwa ngazi zote wahakikishe wanatupa wagombea waadilifu , watupe wagombea wanaoheshimu watu , wapo tayari kutumikia wananchi na ambao tutakapowaletea wagombea hao tunawaomba muwachague wote ili kuendelea kufanya kazi ya kutumikia nchi yetu"
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewasihi kuendelea kuiamini CCM katika kuongoza nchi, "Kila watu na kila Taasisi inafanya kazi vizuri katika eneo iliyozoea, kwa mfano fundi cherehani ambaye amekuwa fundi cherehani kwa miaka 15 maana yake ni kwamba uwezo wake wa ufundi cherehani hauwezi kupimanishwa na mtu ambaye hana uzoefu...uongo kweli ? ...na fundi wa ujenzi wa nyumba ambaye amekuwa fundi kwa miaka 40 hawezi kufananishwa na mwengine"
"Kila mtu anakuwa na ujuzi kwa eneo ambalo amekuwa anafanyia kazi ...CCM imekuwa madarakani tangu mwaka 1977 ina uzoefu wa kungoza, kuleta maendeleo na imejithibitisha kwa vitendo kwamba inajali maendeleo ya watanzania"
"Vyama vya upinzani vimekuwepo tangu mwaka 1992 vimethibitisha kwa vitendo kwamba vina uwezo mkubwa wa kufanya kazi ya upinzani kwahiyo muendelee kuwapa heshima hiyo ya kuendelea kuwa wapinzani wetu kwasababu ni kazi wanayoiweza bila mashaka yoyote, wanaifanya vizuri mnoo"
"Kwakuwa wapinzani wanaifanya kazi yao vizuri mno, mkiwapa kazi nyingine itawashinda kwahiyo kila inapotokea nafasi ya kupiga kura kumbukeni wapinzani ni wazuri kuendelea kuwa wapinzani na CCM ni wazuri kuendelea kuongoza nchi kwahiyo kila taaisis ipeni nafasi kwa udhoefu wake...CCM OYEEE"
Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa CCM Mbinga Mkoani Ruvuma.
ποΈ22 Aprili, 2024
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025