MKUTANO WA NDANI MKOA WA KILIMANJARO KATIKA ZIARA YA KATIBU MKUU DKT.NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, katika Mkutano wa ndani akizungumza na Wanachama na Viongozi wa Chama na Serikali na wawakilishi wa makundi mbalimbali Mkoa wa Kilimanjaro katika Ukumbi wa ofisi za CCM mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 5,2024.