KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUK) CCM Zanzibar Khadija Salum Ali,amesema Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuthamini uhusiano wa kisiasa na kijamii uliopo baina yake na Chama Tawala cha Msumbiji cha Frelimo.
Hayo ameyasema wakati akizungumza na Balozi Mdogo wa Msumbiji anayefanyia kazi zake Zanzibar Agostinho Abacar Trinza, huko Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
Ndugu Khadija,alisema uhusiano huo ulianza kabla ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 ambapo Tanzania kwa kiasi kikubwa ilisaidia Msumbiji kufanikisha malengo yake ya kujitawala yenye,hatua ambayo ni kumbukumbu muhimu katika historia ya ukomboni wa nchi za Bara la Afrika.
"Chama Cha Mapinduzi kinaheshimu na kulinda mahusiano yake na Vyama rafiki vyote duniani,lakini kwa upande wa Msumbiji urafiki wetu umekuwa wa kipekee kutokana na ukaribu wetu ambao kwa sasa wapo Wazanzibar na Watanzania wengi wanaishi Msumbiji na pia wapo Wananchi wengi wa Msumbiji waishi kwa amani hapa Zanzibar.",alisema Katibu huyo wa Kamati Maalum ya NEC Khadija.
Kwa upande wa Balozi mdogo wa Msumbiji Zanzibar Agostinho Abacar Trinza,alisema Chama Frelimo na Serikali ya Msumbiji vinajivunia uwepo uhusiano wa kijamii unaotoa fursa kwa Wananchi wa Msumbiji kuishi kwa amani na utulivu nchini.
Balozi Trinza,aliwapongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi kwa kazi kubwa ya kuwaletea Wananchi maendeleo endelevu katika nyanja za kiuchumi,kisiasa,kijamii na kidiplomasia.
"Tunaona namna Tanzania bara na Zanzibar zinavyopiga hatua kubwa ya maendeleo yote hayo yanafanyika kwa ufanisi,kutokana na uwepo wa amani na utulivu katika nchi hii",alieleza Balozi Trinza.
Baada ya mazungumzo hayo Balozi Agostinho Abacar,alitembelea maeneo mbali mbali ya kihistoria yaliyopo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui pamoja na kuzuru kaburi la aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi marehemu Abeid Amani Karume
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
18-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
18-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
18-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
18-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
18-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
18-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
18-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
18-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
18-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
18-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
18-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
18-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
18-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
18-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
18-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
18-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
18-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
18-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
18-11-2025