KATIKA SIASA SHUKRANI ZINATAFUTWA, NI LAZIMA USEME ULIYOAHIDI NA ULIYOTEKELEZA - KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI
> Atoa pongezi kwa wana katavi kwa mapokezi na hamshahamsha nzuri yenye kujaa neema.
> Awashukuru kwa kufuatilia kwa karibu siasa za kitaifa haswa kwa kauli yao ya taa zote kuzimwa na kubaki ya CCM
> Asema Utaratibu wa utawala bora katika kutekeleza sera za CCM ni kusimamia utawala wa sheria.
"Taarifa tuliyopokea ya utekelezaji wa Ilani Mkoani Katavi inatia moyo sana kutokana na kupunguza maswali mengi kwa wananchi ila kinachotuponza siku zote ni kutosema kazi kubwa tunayofanya na badala yake kinachotuponza ni kufanya kama ile msemo usemao tenda wema uende zako."
"Niwaambie sasa katika siasa shukrani zinatafutwa ni lazima ueleze uliyoahidi na uliyotekeleza usiposema watakuja wenzako watasema walifanya wao"
"Wapo wanasiasa wanangoja mfanye kazi baadae wanakuja wao wanasema wao ndio wamefanya"
"Sote tunajua zipo serikali duniani hazitimizi miradi yao lakini sisi viongozi wetu wanatumia mapato ya umma kuleta maendeleo, tusione haya na tutoke tuseme kazi kubwa imefanywa na serikali ya CCM inayoongozwa na Mqenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na hii ndio changamoto ya viongozi wetu kutosema"
"Maeneo machache yenye mapengo tutaziba, nafasi yetu ya kuismamia serikali tutaifanya kwa usiamamizi madhubuti na wenye staha."
"Utaratibu wa utawala bora katika kutekeleza sera za CCM ni kusimamia utawala wa sheria, wajibu wetu ni kuzihamasisha na kuziwesha mahakama zetu ziweze kutenda haki"
"Nchi inayotaka kusimamia sheria lazima kujenga utaratibu wa kuzingatia utawala wa sheria"
Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akizungumza wakati akitoa salamu kwa Viongozi, wanachama, wapenzi, mashabiki na wadau mbalimbali waliojitikeza kwa wingi kuwapokea katika ofisi za CCM mkoa wa Katavi.
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMkoa wa Katavi
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
21-01-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
21-01-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
21-01-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
21-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
21-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
21-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
21-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
21-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
21-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
21-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
21-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
21-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
21-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
21-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
21-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
21-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
21-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
21-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
21-01-2026