KATIKA SIASA SHUKRANI ZINATAFUTWA, NI LAZIMA USEME ULIYOAHIDI NA ULIYOTEKELEZA - KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI
> Atoa pongezi kwa wana katavi kwa mapokezi na hamshahamsha nzuri yenye kujaa neema.
> Awashukuru kwa kufuatilia kwa karibu siasa za kitaifa haswa kwa kauli yao ya taa zote kuzimwa na kubaki ya CCM
> Asema Utaratibu wa utawala bora katika kutekeleza sera za CCM ni kusimamia utawala wa sheria.
"Taarifa tuliyopokea ya utekelezaji wa Ilani Mkoani Katavi inatia moyo sana kutokana na kupunguza maswali mengi kwa wananchi ila kinachotuponza siku zote ni kutosema kazi kubwa tunayofanya na badala yake kinachotuponza ni kufanya kama ile msemo usemao tenda wema uende zako."
"Niwaambie sasa katika siasa shukrani zinatafutwa ni lazima ueleze uliyoahidi na uliyotekeleza usiposema watakuja wenzako watasema walifanya wao"
"Wapo wanasiasa wanangoja mfanye kazi baadae wanakuja wao wanasema wao ndio wamefanya"
"Sote tunajua zipo serikali duniani hazitimizi miradi yao lakini sisi viongozi wetu wanatumia mapato ya umma kuleta maendeleo, tusione haya na tutoke tuseme kazi kubwa imefanywa na serikali ya CCM inayoongozwa na Mqenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na hii ndio changamoto ya viongozi wetu kutosema"
"Maeneo machache yenye mapengo tutaziba, nafasi yetu ya kuismamia serikali tutaifanya kwa usiamamizi madhubuti na wenye staha."
"Utaratibu wa utawala bora katika kutekeleza sera za CCM ni kusimamia utawala wa sheria, wajibu wetu ni kuzihamasisha na kuziwesha mahakama zetu ziweze kutenda haki"
"Nchi inayotaka kusimamia sheria lazima kujenga utaratibu wa kuzingatia utawala wa sheria"
Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM
Akizungumza wakati akitoa salamu kwa Viongozi, wanachama, wapenzi, mashabiki na wadau mbalimbali waliojitikeza kwa wingi kuwapokea katika ofisi za CCM mkoa wa Katavi.
ποΈ 13 Aprili, 2024
πMkoa wa Katavi
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
28-10-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
28-10-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
28-10-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
28-10-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
28-10-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
28-10-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
28-10-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
28-10-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
28-10-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
28-10-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
28-10-2025
TAARIFA KWA UMMA
28-10-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
28-10-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
28-10-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
28-10-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
28-10-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
28-10-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
28-10-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
28-10-2025