Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


MAKALLA AZITAKA TAASISI ZILIZO CHINI YA IDARA YA UENEZI KWENDA KIDIGITALI

alternative

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Ndugu Amos Makalla amezitaka tasisisi zote zilizo chini ya Idara ya Uenezi kwenda kidigitali Zaidi.

Hayo ameyasema leo jumanne Juni 25,2024 wakati wa kikao kazi cha Taasisi zote zilizo chini ya Idara ya Uenezi.

Amewataka wakuu wa Taasisi hizo kuwa wabunifu na kuendesha taasisi zao katika mazingira ya kisasa.

Tasisi zilizo chini ya Idara ya Uenezi ni Kituo cha Television cha Channel Ten, Redio Uhuru Fm, Magazeti ya Uhuru na Mzalendo Bendi ya TOT na Vijana Jazz.

alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi