Makamu wa Pili wa Rais Mhe.Hemed Suleiman Abdulla ametoa agizo kwa uongozi wa Kampuni ya Lancet kuhakisha ndani ya mwezi mmoja kitengo cha wagonjwa walio katika uangalizi maalum (ICU) katika hospitali ya Wilaya ya Magharibi “B” Mwanakwerekwe Ijitimai kinatoa huduma ili kuondoa usumbufu wa ongezeko la wagonjwa katika hospital ya Rufaa ya Mnazi Mmoja.
 
                                                                Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya utowaji na upatikanaji wa huduma za Afya kwa wananchi katika hospital ya Wilaya ya Magharibi “B” Mwanakwerekwe Ijitimai na Hospital ya Taifa ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Mkoa wa Mjini Magharibi.
Amesema kuwa Kampuni ya Lancet ina wajibu wa kuhakikisha huduma zote muhimu zinapatika kwa ubora na haraka kwa wagonjwa wanaofika katika hospitali zote za Wilaya ili kuondosha msongamano wa wagonjwa katika hospital za Rufaa ya Mnazi Mmoja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali ya Awamu ya Nane imelipa kipaombele suala la kuboresha miundombinu ya Afya ili kuzidi kutoa huduma bora za kitabibu kwa Wananchi hivyo wananchi wanapaswa kuunga mkono juhudi zinazochukuliwa na viongozi katika kuwaletea maendeleo ikiwemo upatikanaji wa huduma bora za Afya.
Mhe. Hemed amewasisitiza madaktari kudumisha nidhamu katika kazi kwa kufuata miiko, miongozo na maadili ya kazi zao na kuachana na tabia ya kuwatolea lugha chafu wagonjwa hasa wahuduma za Dharura ili kuendelea kuilinda heshima ya wananchi ambapo Serikali haitamvumilia mtu yoyote atakae kwenda kinyume na maadili ya kazi na itamchukulia hatua za kisheria na kinidhamu kwa haraka .
Aidha Makamu wa Pili wa Rais amezitaka kampuni ya Lancet na NSK zinazotoa huduma katika hospital za Wilaya na Hospital ya Rufaa ya Mnazi Mmoja kuhakikisha changamoto zote za vifaa, wataalamu na kiutendaji zinapatiwa ufumbuzi kwa haraka ili kupunguza malalamiko kwa wananchi ambao wameipa Imani Serikali yao ya kiwatumikia na kuwaletea maendeleo.
Sambamba na hayo amewasisitiza wananchi kuendelea kuzitumia Hospitali za Wilaya katika kutafuta matibabu ambazo zinatoa huduma zote za kitabibu ili kupunguza wingi wa wagonjwa katika hospitali za Rufaa.
Makamu wa Pili wa Rais amesema kuwa Serikali kuu itahakikisha inatatua chamgamoto zote zinazoikabili Sekata ya Afya zitapatiwa ufumbuzi wa haraka ili kuendelea kutoa huduma bora na stahiki kwa wananchi bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Dkt. MUHIDDIN ABDI MAHMOUD amesema katika kupunguza changamoto ya wataalamu katika Hospitali za Wilaya na Rufaa Wizara ya Afya imeamua kusomesha wafanyakazi wake kwa kuwalazimisha kusomea zile kada ambazo zina upungufu wa madaktari ili kuweza kutoa huduma zilizo bora na kwa wakati.
Amesema kuwa Wizara ya Afya imepanga kuandaa utaratibu wa kuwashauri na kuwashawishi wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu kusomea kozi ambazo zina uhaba wa wataalamu ikiwemo ICU, Ganzi na Usingizi pamoja na Huduma za dharura ili kuweza kulisaidia Taifa kupata wataalamu wazawa.
Kwa upande wao wananchi waliofika hospitalini hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu wameishukuru Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuwajengea hospitali za Wilaya na kuwasogezea huduma za matibabu karibu na makazi yao zinazotoa huduma bora na kwa wakati sambamba na kuwashukuru Madaktari kwa huduma bora wanazowapatia wagonjwa wanaofika hospitalini hapo.
 
                                                                             
                                                                             
                                                                    
                             DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE 
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE 
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ 
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ 
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA  NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA  NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             TAARIFA KWA UMMA 
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    TAARIFA KWA UMMA 
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             πππ  π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    πππ  π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
                                                    26-10-2025 
                                                
                                                
                                                
                                             Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
                                                    26-10-2025
                                                
                                                    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
                                                    26-10-2025