CCM INATAMBUA UWEPO WA BARAZA LA WAZEE KWA KUWA NI CHOMBO CHA USHAURI MZURI - NDG. GAVU
Katibu wa NEC, Oganaizesheni wa CCM Taifa Ndugu. Issa Haji Gavu, amesema kuwa kuna umuhimu wa kuendelea kusisitiza vikao kuanzia ngazi ya mashina pamoja na vikao vya baraza la wazee ambavyo vitasaidia kupata idadi ya wanachama na kujenga utamaduni wa kutafuta majawabu dhidi ya changamoto zinazowakabili.
“ Katiba inaelekeza kila kipindi cha miezi mitatu, balozi anapaswa kufanya kikao cha wananchama wake. Makatibu wa mikoa mnapaswa kusimamia utekelezaji wake. Kwa ngazi ya tawi katiba inaturuhusu kufanya vikao vya wanachama wote kupata nafasi ya kufanya tathimini ya nguvu zetu na changamoto zinazotukabili” alisema Ndugu. Gavu
Pia, Ndg. Gavu amesema Katiba ya CCM inatambua uwepo wa Baraza la Wazee la CCM ambalo ni chombo cha ushauri, kuelekeza, kuonya na kutafuta jawabu la changamoto kwa busara, heshima na uzoefu.
" CCM tunatambua na kuamini katika baraza la wazee kwakuwa wamekuwa sehemu ya chombo kizuri cha kutoa ushauri mzuri wenye kujenga na kuelekeza, lakini wamekuwa sehemu ya kusaidia kwenye kuonya na kutafuta jawabu la changamoto kwa kutumia hekima zao kubwa, busara , heshima na udhoefu walionao "
ποΈ22 Aprili, 2024
πMbinga - Ruvuma
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
07-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
07-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
07-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
07-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
07-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
07-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
07-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
07-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
07-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
07-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
07-01-2026