CCM INATAMBUA UWEPO WA BARAZA LA WAZEE KWA KUWA NI CHOMBO CHA USHAURI MZURI - NDG. GAVU
Katibu wa NEC, Oganaizesheni wa CCM Taifa Ndugu. Issa Haji Gavu, amesema kuwa kuna umuhimu wa kuendelea kusisitiza vikao kuanzia ngazi ya mashina pamoja na vikao vya baraza la wazee ambavyo vitasaidia kupata idadi ya wanachama na kujenga utamaduni wa kutafuta majawabu dhidi ya changamoto zinazowakabili.
“ Katiba inaelekeza kila kipindi cha miezi mitatu, balozi anapaswa kufanya kikao cha wananchama wake. Makatibu wa mikoa mnapaswa kusimamia utekelezaji wake. Kwa ngazi ya tawi katiba inaturuhusu kufanya vikao vya wanachama wote kupata nafasi ya kufanya tathimini ya nguvu zetu na changamoto zinazotukabili” alisema Ndugu. Gavu
Pia, Ndg. Gavu amesema Katiba ya CCM inatambua uwepo wa Baraza la Wazee la CCM ambalo ni chombo cha ushauri, kuelekeza, kuonya na kutafuta jawabu la changamoto kwa busara, heshima na uzoefu.
" CCM tunatambua na kuamini katika baraza la wazee kwakuwa wamekuwa sehemu ya chombo kizuri cha kutoa ushauri mzuri wenye kujenga na kuelekeza, lakini wamekuwa sehemu ya kusaidia kwenye kuonya na kutafuta jawabu la changamoto kwa kutumia hekima zao kubwa, busara , heshima na udhoefu walionao "
ποΈ22 Aprili, 2024
πMbinga - Ruvuma
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
06-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
06-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
06-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
06-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
06-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
06-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
06-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
06-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
06-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
06-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
06-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
06-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
06-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
06-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
06-11-2025
ASIYETII SHERIA, KATIBA NA KUWA TAYARI KUUA KWA MASLAHI BINAFSI HUO NI UGAIDI’
06-11-2025
πππ π¬ππ¦ππ¦ππ§πππ πͺπππ’π πππ ππ¨πππππππͺπ ππͺπ ππ¨πππ‘πππ§ππ π¨πͺπππ’, π¨πππππ‘ππ’ π‘π π¨πππππππ¨, π¬ππππ ππ π πππ¨π‘ππ - πππ. πππ©π¨
06-11-2025
KAENI KIMYA KAMA HAMJUI NCHI ILIKOTOKA - WASIRA
06-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kilichopo Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025.
06-11-2025