WANA CCM WAMERIDHIA DKT. SAMIA KUONGEZEWA MIAKA 5 KUONGOZA TAIFA LETU - BALOZI DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi , amesema katika ziara yake ya siku 10 hadi kufikia sasa ametembelea mikoa sita na Nyanda za juu kusini ambapo kote alipopita amethibitishiwa na wanachama wa CCM kuwa wanataka Mwenyekiti wa Chama Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, apewe miaka mitano mingine ya kuliongoza Taifa kutokana na kile wanachoendelea kukiona cha kufanyika kwa kazi kubwa na nzuri kila kona ya Nchi katika kuleta maendeleo kwa nchi na wanachi kwa ujumla.
Akizungumza kwenye mkutano ulioshirikisha Mabalozi wa mashina, viongozi mbalimbali wa chama na serikali, viongozi wa dini, taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali, wazee, machifu na wadau mbalimbali wa maendeleo, Balozi Dkt. Nchimbi amesema wanachoanua wanachama wa CCM ndicho kitakachotokelezwa kwasababu hakuna enek la nchi ambalo halijaguswa kimaendeleo na ndiyo sababu ya wababchama kufikia uamizi huo.
" Sehemu zote tulizopita na viongozi wenzangu ujumbe tuliyoupata ni Viongozi na wana CCM kwa ujumla wamesema Mama Samia ni mitano tena na mimi ndiye ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi ndani ya chama sasa mimi nani hadi niwakatalie wanachama...wanachoanua wana CCM ndicho tunachotekeleza "
" Wana CCM wanataka kuona Rais Dkt. Samia anapewa miaka mitanao na agizo hio linatokana na kazi nzuri ambayo Rais Samia ameifanya, hakuna sehemu ya nchi ambayo haijaguswa kwa maendeleo, tuendelee kumuunga mkono Rais wetu na kueleza kwa watu wote kazi kubwa anayoendelea kuifanya kwakuwa inaonekana ila wapo baadhi ya watu watajifanya kama hawaoni "
Alisema Balozi Dkt. Nchimbi.
Aidha, Dkt. Nchimbi ametoa wito kwa wanachama wa CCM wa kuwatala kuendeleza umoja na mshimano kwasababu chama kina wajibu wa kuwatumikia Watanzania.
"Tukiwa na mshikamano nchi itashikamana, kama tukiwa na mafarakano na nchi itafarakana. Kila mwana CCM ajiulize anatoa mchango gani katika nchi yake ?"
"Kila mwana CCM ajiepushe kuwa chatu mbaya ndani ya chama na tujiepushe kwa kutimiza wajibu wetu. CCM lazima iendeee kuwa kimbiio la Watanzania."
"Kiongozi wa kweli hamdharau Mtanzania mwenzake bali ana wajibu wa kumpenda kila mtu, Chama hiki siyo viongozi ni chama cha wananchi"
Alisema Balozi Dkt. Nchimbi.
ποΈ22 Aprili, 2024
πMbinga - Ruvuma
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025