Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


CHONGOLO AKAGUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA LABAY -MBULU

alternative

Sekretarieti ya CCM Taifa ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo wanaendelea na ziara ya kukagua na kutekeleza Ilani ya CCM leo tarehe 06 Machi 2023  Wametembelea na kukagua Mradi wa Maji kijiji cha Labay  uliopo wilaya ya Mbulu na  kuzungumza na wananchi wa wanaonufaika na mradi huo.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi