Makabidhiano - Dar Es Salaam
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-CCM na wananchi kwa ujumla waendelee kuiamini Serikali yao kwa sababu watendaji wake wamejipanga kuwatumikia kwa weledi, uadilifu na uaminifu wa hali ya juu.
Pia, Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa CCM Taifa amefanya maboresho makubwa katika sekta mbalimbali ikiwemo ya uwekezaji lengo likiwa ni kukuza uchumi wa Taifa na wa mwananchi mmoja mmoja.
<p>Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumapili, Februari 5, 2023) wakati wa maadhimisho ya Sherehe za Miaka 46 ya CCM Mkoa wa Kagera. Maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika katika Uwanja wa CCM wilayani Biharamulo.</p>
<p>Amesema Serikali imeboresha mazingira ya uwekezaji na kuvutia uwekezaji kwenye sekta za madini, kilimo na viwanda ikiwa miongoni mwa mikakati ya Serikali ya kupambana na changamoto ya ajira hususan kwa vijana.</p>
<p>"Mheshimiwa Rais Dkt Samia amejikita katika kutatua changamoto ya ajira nchini kwa kupanua wigo wa uwekezaji na kuwakaribisha waje wawekeze nchini wajenge viwanda. Uwekezaji katika kilimo, viwanda ndio jibu la tatizo la ajira."</p>
<p>Pia, Mheshimiwa Majaliwa amewasisitiza watendaji wa halmashauri wahakikishe vijana wanapatiwa maeneo ya kilimo na hati pamoja na kuwapa kipaumbele katika utoaji wa mikopo itokanayo na asilimia 10 ya mapato yao ya ndani.</p>
<p>Akizungumzia kuhusu maslahi ya wtumishi wa umma, Waziri Mkuu amesema CCM imeielekeza Serikali isimamie ipasavyo maslahi yao ikiwa ni pamoja na kulipa madeni na malimbikizo mbalimbali pamoja na upandishwaji wa madaraja, hivyo amewataka waendelee kuwa na imani na Serikali yao.</p>
<p>Kadhalika, Mheshimiwa Majaliwa ametumia fursa hiyo kuwashukuru Watanzania kwa kuiunga mkono CCM katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi ya 2020 ambayo imeainisha mambo mbalimbali ya maendeleo yanayotekelezwa nchi nzima ukiwemo na mkoa wa Kagera.</p>
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
15-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
15-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
15-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
15-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
15-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
15-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
15-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
15-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
15-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
15-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
15-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
15-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
15-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
15-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
15-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
15-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
15-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
15-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
15-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
15-03-2026