SERIKALI YA CCM ITAENDELEA KUNUNUA CHAKULA KWA WAKULIMA WETU - BALOZI DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuhakikisha serikali inaendelea kununua mazao ya vyakula kutoka kwa wakulima wake wa ndani kwa bei zenye kuwanufaisha wakulima wote.
Dkt. Nchimbi amesema kununua vyakula kutoka kwa wakulima wetu wa ndani kutasaidia katika kudhibiti unyonyaji kwa wakulima na mfumuko wa ongezeko la bei.
" Chama Cha Mapinduzi tutahakikisha Maghala ya taifa ya serikali yanaendelea kununua chakula kwa wakulima wetu wa ndani ili kuhakikisha wanaendelea kuthibiti unyonyaji wa bei ya manunuzi kwa wakulima na kutokuwepo kwa mfumuko wa bei, pia tutahakikisha wakulima wanalipwa kwa wakati na wale ambao bado wanadai niwahakiishie kuwa nimeshaongea na Waziri wa Kilimo Ndugu. Hussein Bashe amenihakikishia kuwa hadi kufikia wiki ijayo malipo hayo yatakuwa yamekwishalipwa "
" CCM kwa kutambua dhamana yake kwamba ni chama kinachotokana na wananchi, kitaendelea kuhakikisha serikali inatenda mambo yanayotarajiwa na wananchi , inaimarisha usalama wa raia na mali zao, inatoa huduma bora kwa sekta ya afya, inatengeneza miundombinu rafiki ya barabara na sekta nzima ya usafirishaji na mengine yote kwa sekta mbalimbali "
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewapongeza wananchi wa mkoa wa Ruvuma kwakuwa kati ya mikoa 5 inayoongoza kutoa huduma ya chakula nchini kwa ziaid ya miongo minne na hii inadhiirisha wazi ya kuwa wananchi wa Ruvuma ni wachapakazi.
ποΈ20 Aprili, 2024
πSongea Mjini - Ruvuma
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
01-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
01-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
01-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
01-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
01-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
01-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
01-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
01-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
01-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
01-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
01-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
01-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
01-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
01-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
01-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
01-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
01-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
01-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
01-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
01-01-2026