SERIKALI YA CCM ITAENDELEA KUNUNUA CHAKULA KWA WAKULIMA WETU - BALOZI DKT. NCHIMBI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Chama Cha Mapinduzi kitaendelea kuhakikisha serikali inaendelea kununua mazao ya vyakula kutoka kwa wakulima wake wa ndani kwa bei zenye kuwanufaisha wakulima wote.
Dkt. Nchimbi amesema kununua vyakula kutoka kwa wakulima wetu wa ndani kutasaidia katika kudhibiti unyonyaji kwa wakulima na mfumuko wa ongezeko la bei.
" Chama Cha Mapinduzi tutahakikisha Maghala ya taifa ya serikali yanaendelea kununua chakula kwa wakulima wetu wa ndani ili kuhakikisha wanaendelea kuthibiti unyonyaji wa bei ya manunuzi kwa wakulima na kutokuwepo kwa mfumuko wa bei, pia tutahakikisha wakulima wanalipwa kwa wakati na wale ambao bado wanadai niwahakiishie kuwa nimeshaongea na Waziri wa Kilimo Ndugu. Hussein Bashe amenihakikishia kuwa hadi kufikia wiki ijayo malipo hayo yatakuwa yamekwishalipwa "
" CCM kwa kutambua dhamana yake kwamba ni chama kinachotokana na wananchi, kitaendelea kuhakikisha serikali inatenda mambo yanayotarajiwa na wananchi , inaimarisha usalama wa raia na mali zao, inatoa huduma bora kwa sekta ya afya, inatengeneza miundombinu rafiki ya barabara na sekta nzima ya usafirishaji na mengine yote kwa sekta mbalimbali "
Aidha, Balozi Dkt. Nchimbi amewapongeza wananchi wa mkoa wa Ruvuma kwakuwa kati ya mikoa 5 inayoongoza kutoa huduma ya chakula nchini kwa ziaid ya miongo minne na hii inadhiirisha wazi ya kuwa wananchi wa Ruvuma ni wachapakazi.
ποΈ20 Aprili, 2024
πSongea Mjini - Ruvuma
ππππ πππππ ππππ ππππππ πππππ ππ ππππ ππππππ πππππππ ππ πππππ
31-05-2026
MAWENZI YAVUNJA REKODI: MITUNGI 3,313 YA OKSIJENI YAZALISHWA KWA MIEZI 6, ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 126 ZAOKOLEWA!
31-05-2026
MAFURIKO YA WANANCHI WA SIHA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA HADHARA
31-05-2026
MAPOKEZI YA KATIBU MWENEZI WA CCM NDUGU KENANI L KIHONGOSI MKOANI KILIMANJARO
31-05-2026
π° πππππππππ πππππππ πππ ππππππππ πππππππππππ
31-05-2026
CCM INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA EID AL ADHA
31-05-2026
π°VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VYAIMARISHA MSHIKAMANO, DKT. DIMWA AHITIMISHA MAFUNZO MAALUM
31-05-2026
KATIBU WA NEC, ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CCM TAIFA NDUGU KENANI KIHONGOSI AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISIMANI EMMANUELA KAGANDA MTATIFIKOLO
31-05-2026
MUENDELEZO WA MAFUNZO YA VIONGOZI KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE β KIBAHA
31-05-2026
SIKU YA KWANZA YA MAFUNZO KATIKA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU JULIUS NYERERE LEADERSHIP SCHOOL.
31-05-2026
UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VYAMA SITA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
31-05-2026
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, KOMREDI LIU HAIXING IKULU DAR ES SALAAM
31-05-2026
KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM
31-05-2026
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
31-05-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
31-05-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
31-05-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
31-05-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
31-05-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
31-05-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
31-05-2026