Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


ILANI MPYA YA UCHAGUZI YA CCM YAZINDULIWA RASMI DODOMA

alternative

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt, Samia Suluhu Hassan Leo Tarehe 30, Mei 2025, Amezindua Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM itakayotekelezwa kwa Miaka Mitano ijayo 2025-2030.

Baada ya Uzinduzi huo Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan alimkabidhi Nakala ya llani Mpya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg.Steven Wasira, Pamoja na Makamu Mwenyekiti waCCM kwa Upande wa Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Urais Ndg. Hussein Ali Mwinyi, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Sambamba na Wenyeviti wa CCM wawili Kutoka Jijini Dodoma na
Kaskazin Unguja

#KaziNaUtuTunasongaMbele

alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative alternative
Habari Nyingine