Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


KATIBU MKUU WA CCM AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI NA WAJUMBE WA CCM MKOA WA MWANZA 

alternative

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na viongozi  na wajumbe  wa CCM Mkoa wa Mwanza leo Agosti 15, 2024 katika Ukumbi wa Kwatunza Mkoani Mwanza, Katibu Mkuu hii leo  atafanya Mkutano wa hadhara katika uwanja wa Furahisha .

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi