WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAMETAKIWA KUWA NA UTAMADUNI WA KUIOMBEA DUA NCHI PAMOJA NA WAO ILI KUJIKINGA NA MABALAA NA KUPELEKEA SERIKALI KUWEZA KUFIKIA MALENGO ILIYOJIWEKEA
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid AL-ASYIRI Kisauni Wilaya ya Magharibi “B” mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa.
Amesema kuwa Dini ya Kiisslamu na dini nyenginezo zinahimiza umoja na mshikamani katika mambo ya kheri hivyo ni wajibu wa Watanzania na wazanzibari kwa ujumla kushikamana katika kuiombea dua nchi yao na viongozi wao ili kuweza kutekeleza ahadi zao za kuwaletea maendeleo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea na mikakati ya kupambana na kutokomeza vitendo vya uzalilishaji, utumiaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya nchini ili kuendelea kuwa na Taifa bora lenye kufuata mila, silka na desturi za Kizanzibari ambazo ni urithi kutoka kwa wazee wetu.
Amesema kuwa asilimia kubwa ya wananchi wa Zanzibar ni waislamu hivyo ni lazima kuishi kwa kufuata maamrisho na makatazo yaliyomo katika kitabu kitukufu cha Qur-an ili kuweza kuwalea watoto wetu katika malezi bora yenye kumpendeza Allah kwa kutambua kuwa kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga.
Sambamba na haoyo Alhajj Hemed amesema mwezi wa Rajaab hadi kufikia mwezi mtukufu wa Ramadhan ni miezi ambayo waumini wa dini ya kiislamu huvuna mema kutoka kwa Allah, hivyo amewataka waumini hao kudumisha upendo baina yao kwa kutoa walivyonavyo na kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum, mayatima na wasiojiweza.
Akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim ALI SHARIF MAALIM amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kushikamana na mafunzo na miongozo ya Allah (S.W) hasa katika malezi ya vijana wetu ili kuweza kupata radhi zake na kufikia malengo ya kuletwa duniani.
Amesema kuwa wazazi na walezi wanawajibu mkubwa sana wa kuwapatia watoto wao elimu zote mbili ili kufikia azma ya Serikali ya kupata wataalamu bora watakao lisaidia Taifa sambamba na kupata wanazuoni wakubwa watakaoitetea dini ya kiislamu.
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
20-11-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
20-11-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
20-11-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
20-11-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
20-11-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
20-11-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
20-11-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
20-11-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
20-11-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
20-11-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
20-11-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
20-11-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
20-11-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
20-11-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
20-11-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
20-11-2025
TAARIFA KWA UMMA
20-11-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
20-11-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
20-11-2025
MONGELLA AONGOZA MAZISHI YA KADA WA CCM JIJINI MWANZA
20-11-2025