Makao Makuu - Dodoma
#CCM Imetimia KaziIendelee

Habari na Matukio Mbalimbali


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Manaibu Katibu Watendaji wa Tume ya Mipango na Uwekezaji

alternative

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Manaibu Katibu Watendaji wa Tume ya Mipango na Uwekezaji Dkt. Mursali Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango; Ndugu Lorah Basolile Madete Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango;Dkt. Linda Margaret Kokulamula Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024.

alternative alternative alternative
Habari Nyingine

Nukuu za Viongozi