๐๐๐ ๐ฌ๐๐ฆ๐๐ฆ๐๐ง๐๐ญ๐ ๐ช๐๐๐ข๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐๐๐๐๐ช๐ ๐๐ช๐ ๐๐จ๐ญ๐๐ก๐๐๐ง๐๐ ๐จ๐ช๐๐ญ๐ข, ๐จ๐ญ๐๐๐๐ก๐๐ข ๐ก๐ ๐จ๐๐๐๐๐๐๐จ, ๐ฌ๐๐๐๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐จ๐ก๐๐ - ๐๐๐. ๐๐๐ฉ๐จ
๐๐๐ ๐๐ค ๐๐๐ซ๐๐ง๐ช๐๐ช๐จ๐๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐ฌ๐๐ ๐ ๐ข๐จ๐๐ข๐๐ข๐ค ๐ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ค๐ฉ๐ ๐๐ฃ๐๐ฎ๐ค๐๐ค๐ข๐๐๐ฌ๐
Katibu wa NEC - Oganaizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. ๐๐๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐จ๐๐๐ถ ๐๐ฎ๐๐ leo tarehe 21 Juni 2025 amefungua ๐ ๐ฎ๐ณ๐๐ป๐๐ผ ๐ ๐ฎ๐ฎ๐น๐๐บ ๐๐ฎ ๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐น๐บ๐ฎ๐๐ต๐ฎ๐๐ฟ๐ถ ๐๐๐ ๐๐ฎ ๐๐๐ ๐๐ฎ ๐ช๐ถ๐น๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ธ๐ผ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ฟ๐ถ๐ป๐ด๐ฎ yenye lengo ya kuendelea kujenga chama katika misingi imara na thabiti yaliyofanyika katika ukumbi wa Chuo Cha UVCCM Ihemi Mkoani Iringa.
Akiziungumza na Wajumbe hao, Ndg. Gavu amewataka viongozi ngazi ya Mkoa, WIlaya na Kata kuwa wakati utakapofika wa kujadili majina ya wagombea , wajadili kwa kuzingatia uwezo, sifa nzuri, uzalendo na uadilifu na si kwa kuweka mbele ukabila, urafiki wala undugu kwakuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akihusudu kwenye hayo.
Ndg. Gavu amesema iwapo mgombea ana sifa za kugombea na anakubalika kwa jamii basi apewe kipaumbele bila kujali ni adui kwa baadhi ya wajumbe, kikao kinatakiwa kimpendekeze kwakuwa huyo atafaa kuwa mgombea kwa maslahi ya Chama Cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla, lakini iwapo mgombea hana sifa na hakubaliki kwenye jamii basi hata kama ni rafiki wa wajumbe hatakiwi kupendekezwa na kikao husika.
Akitoa msisitizo zaidi kuhusiana na wagombea wenye kuhitajika, Ndg. Gavu amesema CCM inataka vikao vyake kwa ngazi zote vitoe mustakabali mzima Maendeleo kwa Watanzania kwa ujumla kwa kuwapata wagombea walio tayari wakati wowote kujikosoa, kukosolewa na kukosoana.
Aidha, Ndg. Gavu ametoa onyo kali kwa kikao chochote kile kuweka au kutangaza msimamo kwa nafasi yoyote inayogombewa iwe Ubunge ama Udiwani na badala yake misingi ya Haki, Usawa na Uwazi izingatiwe.
Vilevile, Ndg. Gavu amesema vikao vitatakiwa kuzingatia aliyeongoza kwa kura za maoni isipokuwa kama iwapo itabainika wazi kuwa kura hizo alizipata kwa njia ya rushwa basi katika mchujo kikao hakitamteua kugombea nafasi aliyoiomba na lazima aelezwe wazi tuhuma zake.
Akihitimisha katika hotuba yake, Ndg. Gavu amesema vikao vyote vya uchujaji na uteuzi vizingatie mujibu wa Katiba na Kanuni za CCM, ambapo amesema CCM inaendelea kuwasihi wajumbe kuzingatia miiko na misingi ya CCM ili kutimiza lengo la Ibara ya 5 la kushinda katika chaguzi zote.
#OktobaTunatikiโ
#KaziNaUtuTunasongaMbele
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
07-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
07-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
07-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
07-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
07-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
07-12-2025
๐จ๐๐๐๐ฃ๐๐๐๐ญ๐ ๐ช๐ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐จ๐ ๐๐๐๐ง๐ ๐๐ ๐๐ก๐ ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐ก๐ญ๐๐ก๐, ๐ช๐๐๐๐จ๐๐๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ฉ๐๐๐ช ๐๐ ๐ช๐ช ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐๐๐ง๐ค ๐๐ฌ๐๐ฅ๐ค๐ ๐๐ ๐๐๐ค๐ฃ๐๐ค๐ฏ๐ ๐ฌ๐ ๐พ๐๐ผ๐ฟ๐๐๐ผ ๐ฃ๐ ๐ผ๐พ๐
07-12-2025
๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ง๐จ๐ ๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐๐ฅ๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ข๐ ๐
07-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
07-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
07-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
07-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
07-12-2025
๐ฆ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐ช๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐ก๐๐๐๐๐ข ๐๐๐๐ ๐ฆ๐๐๐๐ ๐จ - ๐๐ฃ๐. ๐๐ ๐ข๐ฆ ๐ ๐๐๐๐๐๐
07-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
07-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
07-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
07-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
07-12-2025
๐ช๐๐๐จ๐ ๐๐ ๐ ๐ฆ๐๐๐๐๐๐จ๐ ๐ฉ๐๐ข๐ก๐๐ข๐ญ๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ช๐๐ก๐ฌ๐ ๐๐จ๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐ ๐๐ข๐ก๐ - (๐ ๐๐) ๐๐๐ฉ๐จ
07-12-2025