RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi jana jioni alijumuika na wananchi wa Mkoa wa kaskazini Unguja kwenye futari ya pamoja.
Futari hiyo maalum aliyowaandalia ukumbi wa VETA, kwenye Chuo cha Amali, Mkokotoni, Mkoa wa Kaskazini Unguja ikiwa ni utaratibu uliojiwekea Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kila ifikapo Ramadhani kufutari pamoja na wananchi wa visiwa vya Unguja na Pemba na waumini wa dini ya kiislam katika kujenga umoja, ushirikiano, mshikamo na upendo na kuimarisha amani baina ya viongozi na wananchi.
Al hajj Dk. Mwinyi alitumia fursa hiyo, kuwashukuru wananchi hao kwa kuitikia wito wa kujumuika pamoja naye na kuuusifu uongozi wa Mkoa huo kugusa makundi yote ya jamii yenye uhitaji. Pia, Al hajj Dk. Mwinyi alisisistiza suala la kutunza amani, umoja, upendo, na mshikamano baina ya jamii ili kuyatunza maendeleo yaliopo nchini.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Hadid Rashid Hadid pia amemshukuru Rais Al hajj Dk. Mwinyi kwaniaba ya wananchi wa Mkoa huo kwa kuwafutarisha. Alisema zaisi ya wananchi 1300 walijumuika nayo kwenye futari hiyo wakijumuishwa na wananchi wa makundi yote wakiwemo wazee, wajane, wenye ulemavu, watoto, watoto yatima, wananchi wenye uhitaji, maimamu wa misikiti, walimu wa madrasa, wajasiriamali, wawakilishi wa asasi za kiraia na wawakilishi wa bodaboda.
Aidha, hafla hiyo ya futari ya pamoja pia ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, dini na vyama vya siasa.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
03-01-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
03-01-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
03-01-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
03-01-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
03-01-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
03-01-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
03-01-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
03-01-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
03-01-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
03-01-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
03-01-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
03-01-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
03-01-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
03-01-2026
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
03-01-2026
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
03-01-2026
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
03-01-2026
TAARIFA KWA UMMA
03-01-2026