VIKAO VYA CHAMA VIWE KAZI YA KUDUMU NA MSICHOKE - BALOZI DKT. NCHIMBI
> Awataka wanachama kuhamasishana kuhusu kujitokeza na kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa
" Chama chochote cha siasa ni wanachama na vikao, endeleeni na utaratibu wa kuitisha na kuitikia miito ya vikao vya kujenga chama chetu, vikao viwe kazi ya kudumu na msichoke...tukikutana mara kwa mara tutatambua kero za wananchi tunaowaongoza na kujadili maendeleo na mafanikio yetu "
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi wakati akizungumza na Mabalozi wa mashina, viongozi wa serikali, Taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali, viongozi wa dini, wazee na machifu Wilayani Mbeya Mjini.
Balozi Dkt. Nchimbi amewataka wananchama wote kuhamaishana katika kujiandaa za chaguzi za serikali za mitaa, Pia amekemea tabia ya viongozi kufanya majigambo na badala wachape kazi ambayo itawafanya kuzidi kupata sifa na kuaminika kwa wananchi na chama.
" Hamasishaneni kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, tuendelee kushiriki kwenye chaguzi na kila mwanachama atambue kuwa ana haki ya kugombea lakini aende na moyo safu wa kutaka kuwatumikia wenzake, utambue uongozi si ubwana mkubwa bali ni utumishi hivyo unatakiwa kuheshimikankwa tabia, maadili na uoendo ili upendwe na wenzako na kuaminiwa na sio kuogopwa "
" Kiongozi huwezi kumkuta anafanya majigambo ya kijinga...ooh unajua mimi ndio mwenyekiti wa tawi hapa wengine nyie ni wajumbe tuu...huo sio uongozi na wengine utawajua tu wasivyojiamini ndio maana kuna wakati unnakuta kiongozi anaingia kwenye kikao anasema mimi ndio mwenyekiti hapa haya tuanze kikao wakati wajumbe wake wote wanatambua kama yeye ni mwenyekiti, huko ni kutokujiamini "
"... anayesambaza maneno kutoka sehemu moja kwenda nyingine tena ya uongo huyo hatufai katika chama chetu na serikali yetu ..."
ποΈ17 Aprili, 2024
πJijini Mbeya
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
04-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
04-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
04-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
04-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
04-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
04-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
04-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
04-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
04-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
04-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
04-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
04-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
04-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
04-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
04-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
04-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
04-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
04-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
04-03-2026
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
04-03-2026