TANZANIA NI SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA
•Nchi yetu ni salama, mipaka yetu ni salama chini ya uongozi wa Dr Samia
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema kuwa hali ya usalama Tanzania ipo shwari chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye Amiri Jeshi Mkuu.
Makalla ameeleza hayo leo akiwasalimu wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Nanyamba mkoani Mtwara akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tandahimba, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku 10 mkoa wa Lindi na Mtwara.
Makalla ameeleza kuwa katika mipaka ya Tanzania ni salama na amepita Nanyamba kuelekea Tandahimba ameona hali ya nchi ni salama na ili maendeleo yapatikane lazima kuwe na amani na utulivu na katika hilo Rais Samia ameifanya kazi hiyo vizuri sana.
“Dk Samia Suluhu Hassan ndiye amiri jeshi wetu Mkuu na yeye bado ametuhakikishia Tanzania ni salama na mimi nashuhudia napita katika mipaka yetu hii tunatoka Nanyamba tunaenda Tandahimba, Newala mpaka Masasi Tanzania ni salama wananchi wetu wanapenda amani na utulivu,” amesema Makalla.
Ameongeza kwa kuwataka wananchi waendelee kushirikiana na serikali na wayalinde mapinduzi na maendeleo yaliyofanyika kwa wivu mkubwa hususani mapinduzi yaliyofanyika katika zao la korosho yalindwe.
CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
15-03-2026
UZINDUZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA
15-03-2026
CCM YAIPA POLE MSUMBIJI KWA KUKUMBWA NA MAFURIKO
15-03-2026
INJINI YA CHAMA CHA MAPINDUZI IPO MASHINANI; DKT.MIGIRO
15-03-2026
DK.MIGIRO:CCM INAJENGWA KUANZIA NGAZI YA MASHINA SIO MAJUKWAANI.
15-03-2026
πππ¦πππ‘ππ’ πππ πππ§. π ππππ₯π’ ππππ£π’πππππͺπ ππͺπ π¦πππ‘ππͺπ πππ₯ ππ¦ π¦πππππ
15-03-2026
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AMWAKILISHA KATIBU MKUU WA CCM KWENYE MSIBA WA MBUNGE WA JIMBO LA PERAMIHO
15-03-2026
π©ππππ‘π π§π¨ππππ‘ππ ππ ππ‘π π¬π π‘πππ π¬ππ§π¨ - π πͺππ‘πππ πππ‘ππ‘π
15-03-2026
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
15-03-2026
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
15-03-2026
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
15-03-2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
15-03-2026
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
15-03-2026
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
15-03-2026
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
15-03-2026
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
15-03-2026
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
15-03-2026
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
15-03-2026
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
15-03-2026
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
15-03-2026