Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Shirika la Kimataifa linaloshughulikia masuala ya Afya na quot AMREF heath Africa Group and quot; kwa kufanikisha mkutano wao hapa Zanzibar uliowashirikisha Mawaziri wa Afya kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika
Rais Dk. Mwinyi ametoa pongezi hizo Ikulu, Zanzibar alipotembelewa na uongozi wa Shirika hilo ulioambatana ujumbe wa Mawaziri hao kwa lengo la kumpa pole baada ya kufiwa na baba yake mzazi hivi karibuni, Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais
Mstaafu wa Zanzibar na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Dk. Mwinyi amesifu hatua ya mkutano huo kushirikisha mataifa mbalimbali ya Afrika na kujadiliana masuala ya Afya na changamoto za Afya zinazoikumba Afrika.
Alisema, Shirika la & quot; AMREF health Afrika & quot; ni mdau muhimu kuwahi kufanyakazi na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa kwenye Sekta ya Afya. Pia, Rais Dk. Mwinyi ameeleza ushirikiano wa karibu uliopo baina ya & quot; AMREF Tanzania & quot; na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, na kuongeza kuwa Shirika hilo, limekua likiungamkono juhudi za Serikali kwa misaada mbalimbali, vifaa, mafunzo na kubadilisha uzoefu kwenye masuala ya Afya kwa lengo la kuboresha Sekta ya Afya, Zanzibar. Aidha, Rais Dk. Mwinyi ameushukuru ujumbe huo kwa kumfariji kutokana na msiba wa kufiwa na Baba yake mzazi hivi karibuni.
Naye, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo la AMREF Health Africa Group, Dk. Githinji Gitahi, amemueleza Rais Dk. Mwinyi adhma ya kuwepo kwao Zanzibar baada ya kufanikisha mkutano wa kimataifa wa Mawaziri wa Afya kutoka Afrika ambao walifanikiwa kujadili na kuweka mikakati madhubuti ya kuimarisha Sekta ya Afya, Afrika pamoja na kuzibiti magonjwa mbalimbali ikiwemo maradhi ya malaria na magonjwa yasiyoambukiza.
Aidha, Ofisa huyo alieleza namna ya & quot; AMREF health Afrika Group & quot; inavyofanyakazi Afrika. Wakati huo huo, Mkurugenzi wa & quot; AMREF - Tanzania", Dk. Florence Temu, alimueleza Rais Dk. Mwinyi kwamba Shirika hilo limekua na ushirikiano wa karibu na Serikali zote nmbili ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. AMREF Tanzania inafanya kazi kwa karibu na taasisi za umma na binafsi pamoja na mashirika ya Serikali, wafadhili, mashirika ya kijamii na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs)
𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂, 𝐈𝐓𝐈𝐊𝐀𝐃𝐈, 𝐔𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀
16-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐇𝐈𝐌𝐈𝐙𝐀 𝐒𝐈𝐀𝐒𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐓𝐀𝐀𝐑𝐀𝐁𝐔 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐋𝐈𝐕𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈
16-06-2026
𝐕𝐈𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐕Y𝐀𝐌𝐒𝐇𝐔𝐊𝐔𝐑𝐔 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐊𝐎𝐏𝐎 𝐈𝐒𝐈𝐘𝐎 𝐍𝐀 𝐑𝐈𝐁𝐀
16-06-2026
𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀: 𝐂𝐂𝐌 𝐈𝐍𝐀𝐓𝐇𝐀𝐌𝐈𝐍𝐈 𝐉𝐀𝐒𝐇𝐎 𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀
16-06-2026
𝐁𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐍𝐔𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎
16-06-2026
𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐎𝐀 𝐖𝐀 𝐋𝐈𝐍𝐃𝐈 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
16-06-2026
𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐅𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐎, 𝐘𝐀𝐎𝐍𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐎𝐇𝐀𝐌𝐀𝐒𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐕𝐔𝐍𝐉𝐈𝐅𝐔 𝐖𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈
16-06-2026
🔰𝐍𝐃𝐆. 𝐑𝐀𝐁𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐊𝐔𝐍𝐃𝐈 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈, 𝐓𝐀𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈, 𝐍𝐆𝐎'𝐒 𝐍𝐀 𝐕𝐘𝐀𝐌𝐀 𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
16-06-2026
📊 𝐕𝐈𝐏𝐀𝐔𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄 𝐕𝐘𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔/𝟐𝟎𝟐𝟕
16-06-2026
📢 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
📢 𝐓𝐀𝐀𝐑𝐈𝐅𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐎𝐆𝐄𝐙𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐍𝐃𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈
16-06-2026
KIPINDI MAALUMU
16-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐄𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐀𝐒𝐈𝐌𝐀𝐌𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐒𝐀𝐅𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐀𝐋𝐈𝐌𝐈𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐈𝐖𝐄 𝐂𝐇𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈
16-06-2026
𝐌𝐖𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐄𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐀𝐓𝐄𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔𝐎 𝐂𝐇𝐀 𝐀𝐅𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐋𝐎𝐋𝐄𝐍𝐈, 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈
16-06-2026
𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐘𝐀𝐀𝐌𝐁𝐈𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐂𝐇𝐀𝐆𝐔𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐎 𝐁𝐀𝐃𝐀𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐀𝐍𝐃𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎
16-06-2026
𝐌𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐙𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐄𝐂, 𝐈𝐓𝐈𝐊𝐀𝐃𝐈, 𝐔𝐄𝐍𝐄𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎 𝐂𝐂𝐌, 𝐍𝐃𝐔𝐆𝐔 𝐊𝐄𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐋𝐀𝐁𝐀𝐍 𝐊𝐈𝐇𝐎𝐍𝐆𝐎𝐒𝐈, 𝐎𝐅𝐈𝐒𝐈 𝐙𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐖𝐈𝐋𝐀𝐘𝐀 𝐘𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈
16-06-2026
𝐒𝐀𝐒𝐀 𝐍𝐈 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈, 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐃𝐎 𝐌𝐃𝐔𝐍𝐃𝐎!
16-06-2026