Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa mashirikiano kwa Mashirika na Taasisi za kifedha zilizopo nchini ikiwemo Bank ya NMB ili kuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla
Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla katika FTARI iliyoandaliwa na Bank ya NMB hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege jijini Zanzibar.
Amesema kuwa Mashirika ya kifedha yamekuwa na mchango mkubwa kwa Serikali zote mbili katika kukuza uchumi wa Taifa kwa kutoa misaada mbali mbali kwa Serikali na wananchi kulingana na mahitaji yao.
Mhe. Hemed amesema kuwa Bank ya NMB imekuwa mstari wa mbele katika kuyaunganisha Mashirika mbali mbali hivyo ameutaka uongozi kuendelea kutanua wigo kwa kuongeza matawai mijini na vijijini ili kuwarahisishia wananchi kupata huduma zilizo bora na kwa wakati.
Aidha Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali na wananchi wameridhishwa na utendaji kazi wa Benk ya NMB kwa kuendana na kasi ya dunia katika kutoa huduma masaa 24 kwa wananchi sambamba na kutoa gawiwo kwa seriali kuu kwa kila mwaka.
Sambamba na hayo Makamu wa pili wa Rais ameutaka uongozi wa NMB Benk kuwa karibu na wananchi na wateja wake katika kutoa huduma zilizo bora ili kuongeza wateja na kukuza biashara nchini.
Hata hivyo Mhe. Hemed ameupongeza uongozi wa Bank ya NMB kwa kuendeleza utamaduni wa kuwafutarisha wateje wao pamoja na watoto mayatima huku wakitaraji kupata fadhila kutoka kwa Mwenyezi Mungu hasa kwa kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Nae Mtendaji mkuu wa Bank ya NMB Tanzania Bi. RUTH ZAIKUNA amesema Bank ya NMB imekuwa nautamaduni wa kuungana na wateja wake na wananchi kwa ujumla katika mambo mbali mbali ya kijamii ikiwemo Kuwafutarisha kila ifikapo mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Bi Ruth amesema kuwa lengo la Ftari hio ni kukaa na wateja wao karibu katika kudumisha umoja, mshikamano na upendo baina ya Uongozi, wafanya kazi wa wateja wao ili kukuza biashara na kupiga hatua kimaendeleo.
Amesema kuwa kwa mwaka huu Bank ya NMB imeamua kuwaalika watoto yatima kwenye ftari hio kwa lengo la kuwafanya watoto hao kujiona na wao ni sawa na watoti wengine na Taifa halijawatenga kwa kuondokewa na wazazi wao
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WATEULE- IKULU CHAMWINO DODOMA
09-12-2025
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA (GENERAL)
09-12-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ..
09-12-2025
RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
09-12-2025
DKT SAMIA:TUNAFANYA UCHAGUZI KWA FEDHA ZETU WENYEWE
09-12-2025
MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MANYARA
09-12-2025
π¨ππππ£πππππ πͺπ πππ§. π¦ππ ππ π¨π ππππ§π ππ ππ‘π ππͺπ πͺππ£ππ‘πππ‘π, πͺππππ¨ππππ πππ
πππ©πππͺ ππ πͺπͺ πΏπ π©. πππππ§π€ ππ¬ππ₯π€π ππ πππ€π£ππ€π―π π¬π πΎππΌπΏπππΌ π£π πΌπΎπ
09-12-2025
πππ§. π¦ππ ππ ππ§π¨π π‘πππ‘π π¬π ππ₯πππ π¬π ππππ’π π
09-12-2025
KATIBU MKUU WA CCM, BALOZI DKT. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA RAIS MWINYI – ZANZIBAR
09-12-2025
ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025-2030
09-12-2025
WASIRA:CCM HATUKATI MGOMBEA ILA TUNATEUA WACHACHE KATI YA WENGI
09-12-2025
WANACHAMA 280 WA CHADEMA WATIMKIA CCM
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI: MAONI YOYOTE KUHUSU AMANI YA TANZANIA HAYATAPUUZWA
09-12-2025
π¦ππ₯πππππ π¬π π₯πππ¦ πππ§. π¦ππ ππ ππ ππͺπππ ππππ π π¬π π πππ‘πππππ’ ππππ π¦ππππ π¨ - ππ£π. ππ π’π¦ π ππππππ
09-12-2025
MAKALLA: BARABARA YA MPWAPWA NJIAPANDA KONGWA KUJENGWA LAMI
09-12-2025
BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA
09-12-2025
TAARIFA KWA UMMA
09-12-2025
UCHAGUZI MKUU SIO AJALI-WASIRA
09-12-2025
πͺπππ¨π ππ π π¦ππππππ¨π π©ππ’π‘ππ’ππ ππππππππ ππͺππ‘π¬π ππ¨π₯π ππ π ππ’π‘π - (π ππ) πππ©π¨
09-12-2025