𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌 𝐖𝐀 𝐂𝐂𝐌 𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐖𝐀𝐑𝐈𝐃𝐇𝐈𝐀 𝐃𝐊𝐓. 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐌𝐁𝐈 𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐌𝐆𝐎𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐙𝐀 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameridhia kwa kauli moja kumpitisha Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea mwenza (Makamu wa Rais) kwa Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025.
#MkutanoMkuuCCM2025
#CCMImara
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee