πππππππ ππππ ππππππ ππ πππ ππππ
π ππππππππ πππ. πππππππ ππππ πππππππ ππππππ ππ ππππ πππ. πππππ
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameridhia kwa kauli moja kumpitisha Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea mwenza (Makamu wa Rais) kwa Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025.
#MkutanoMkuuCCM2025
#CCMImara
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee